BUNGE LAPITISHA MUSWADA WA MAREKEBISHO SHERIA YA PPP
Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (MB), akiwasilisha bungeni, Muswada wa marekebisho ya Sheria ya Ubia baina ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi wa mwaka 2023, jijini Dodoma Bunge limepitisha Muswada wa marekebisho ya Sheria ya Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi wa mwaka 2023 ambayo itawasilishwa […]
Read More