NAIBU WAZIRI MWINJUMA ATEMBELEA KITUO CHA MICHEZO TANGA, AKUTANA NA MAKOCHA WALIOPO MAFUNZONI
Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Hamis Mwinjumaamewatembelea Makocha ambao wapo kwenye mafunzo ya ngazi ya Diploma yaUalimu wa Michezo Daraja A inayotambuliwa na Shirikisho la Mpira Afrika (CAF)yanayoendelea katika Kituo cha Michezo Tanga kinachosimamiwa na Shirikisho laMpira Tanzania (TFF). Naibu Waziri Mwinjuma amefanya ziara hiyo Juni 12, 2023 jijini Tanga na kukutana […]
Read More