KITAIFA

RAIS SAMIA AFUNGUA MKUTANO WA JUKWAA LA DEMOKRASIA AFRIKA JIJINI ARUSHA

RAIS SAMIA AFUNGUA MKUTANO WA JUKWAA LA DEMOKRASIA AFRIKA JIJINI ARUSHA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na viongozi mbalimbali kutoka Ndani na Nje ya Nchi kabla ya kufungua Mkutano wa Jukwaa la Demokrasia Afrika uliofanyika Jijini Arusha tarehe 17 Julai, 2023.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete mara baada ya kuwasili katika Hoteli ya Gran Meliá kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa Jukwaa la Demokrasia Afrika
uliofanyika Jijini Arusha tarehe 17 Julai, 2023.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Viongozi mbalimbali mara baada ya kufungua Mkutano wa Jukwaa la Demokrasia Afrika uliofanyika katika hoteli ya Gran Meliá Jijini Arusha tarehe 17 Julai, 2023.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Viongozi mbalimbali mara baada ya kufungua Mkutano wa Jukwaa la Demokrasia Afrika uliofanyika katika hoteli ya Gran Meliá Jijini Arusha tarehe 17 Julai, 2023.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Askofu Dkt. Benson Bagonza mara baada ya kufungua Mkutano wa Jukwaa la Demokrasia Afrika uliofanyika katika hoteli ya Gran Meliá Jijini Arusha tarehe 17 Julai, 2023.

Viongozi mbalimbali kutoka Ndani na Nje ya Nchi wakiwa kwenye ukumbi wa Hoteli ya Gran Meliá kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa Jukwaa la Demokrasia Afrika uliofanyika Jijini Arusha tarehe 17 Julai, 2023

About Author

Bongo News

47 Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *