Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Dunia Kanda ya Afrika, Dkt. Zarau Kibwe, amepongeza uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan, akieleza kuwa ni chanzo cha kuongezeka kwa kiwango cha mkopo ambacho Tanzania inaweza kupata kutoka Benki ya Dunia, kutoka Dola bilioni 5 (zaidi ya Shilingi trilioni 10) hadi Dola bilioni 12 za Marekani (zaidi ya Shilingi trilioni 25)

Dkt. Kibwe ameyasema hayo jijini Washington, Marekani siku ya Jumatano Machi 12, 2025 wakati akizungumza na Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, aliyemtembelea ofisini kwake, ikiwa ni sehemu ya ziara yake ya kukutana na wadau wa sekta ya ujenzi na kuhudhuria mikutano ya kimataifa.
Kibwe amesema kuwa hadhi ya Tanzania kimataifa imeimarika, na sasa inatambulika kama moja ya mataifa yanayoendeshwa kwa ufanisi barani Afrika.
“Sijui huko nyumbani kama mnaliona au kulizungumza hili. Katika muda mfupi ambao Rais Samia ameingia madarakani, ukomo wa Tanzania kwenye uhusiano wake na Benki ya Dunia umeongezeka kutoka dola bilioni tano hadi bilioni 12. Hili si jambo la kawaida,” amesema Kibwe.
Kwa upande wake, Waziri Ulega amempongeza Kibwe kwa kushika wadhifa huo mkubwa kama Mtanzania, akisema kuwa Watanzania wanajivunia mafanikio yake. Pia, ametumia fursa hiyo kueleza maendeleo ya miradi inayofadhiliwa na Benki ya Dunia, ikiwemo ujenzi wa barabara, mwendokasi na madaraja.
““Nimepata sifa zako nyingi sana kabla ya kuonana nawe. Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba alinipa sifa zako lakini pia kule nyumbani kwa sababu taasisi hii inagusa maisha ya wengi, habari zako zinajulikana sana. Hongera sana na kazi iendelee,” amesema Ulega.
Ulega amegusia changamoto ya wakandarasi wa kigeni kuchelewesha miradi, akipendekeza kwamba wanapaswa kufungua akaunti Tanzania ili kuwezesha malipo kufanyika haraka na miradi isikwame.
“Kuna tatizo la hawa wakandarasi kutokuwa na akaunti nyumbani. Sasa ninyi ndiyo mnaowalipa. Sisi tunaona ni vema hizi kampuni ziambiwe zilipe haraka ili kazi ziendelee au wafungue akaunti zao Tanzania ili iwe rahisi kwao kulipa na mambo yasilale,” amesema.

Katika majibu yake, Kibwe amemhakikishia Waziri Ulega kuwa Benki ya Dunia itaendelea kushirikiana na Tanzania, huku akimpongeza kwa msukumo mkubwa katika sekta ya ujenzi.
“Niliona mabadiliko makubwa Dar es Salaam na nikaambiwa ‘there is a new sheriff in town’. Hongera sana kwa kazi nzuri, mambo yako yanaonekana,” amesema Kibwe.
Benki ya Dunia pia imethibitisha kuunga mkono mradi mkubwa wa barabara kuelekea Kusini mwa Tanzania, ikiwemo ujenzi wa Daraja la Mzinga eneo la Kongowe, Dar es Salaam.
Kibwe ni Mtanzania wa pili kushika wadhifa huo wa Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Dunia Kanda ya Afrika inayohusisha takribani nchi 23. Mtanzania wa kwanza alikuwa Christopher Kahangi aliyeshika wadhifa huo kati ya mwaka 1968 hadi mwaka 1970.
34 Comments
I am actually thankful to the holder of this site who has shared this enormous
piece of writing at at this time.
Не упустите шанс выяснить всё о казино водка
Кликайте по ссылке и читайте расширенную работу сейчас сейчас.
https://t.me/s/Official_kometa19
Не прозевайте случай выяснить всё о казино водка
Кликайте по адресу и изучайте полную публикацию прямо же.
https://t.me/s/Official_kometa19
Не прозевайте возможность понять всё о казино водка
Кликайте по ссылке и читайте расширенную публикацию сейчас же.
https://t.me/s/Official_kometa19
Не упустите случай выяснить всё о казино водка
Переходите по адресу и изучайте полную работу сейчас же.
https://t.me/s/Official_kometa19
Не пропустите случай выяснить все о казино водка
Кликайте по ссылке и читайте полную статью немедленно же.
https://t.me/s/Official_kometa19
Не прозевайте случай узнать все о казино водка
Заходите по адресу и ознакамливайтесь расширенную статью сейчас же.
https://t.me/s/Official_kometa19
Не прозевайте возможность узнать всё о казино водка
Заходите по ссылке и ознакамливайтесь полную публикацию сейчас же.
https://t.me/s/Official_kometa19
Не пропустите возможность выяснить всё о казино водка
Переходите по адресу и изучайте полную работу сейчас сейчас.
https://t.me/s/Official_kometa19
Не упустите возможность понять всё о казино водка
Заходите по ссылке и изучайте расширенную статью прямо сейчас.
https://t.me/s/Official_kometa19
Не прозевайте возможность выяснить всё о казино водка
Переходите по адресу и ознакамливайтесь полную публикацию сейчас же.
https://t.me/s/Official_kometa19
Не прозевайте возможность узнать всё о казино водка
Кликайте по ссылке и ознакамливайтесь расширенную работу сейчас же.
https://t.me/s/Official_kometa19
Не пропустите случай узнать всё о казино водка
Кликайте по ссылке и ознакамливайтесь расширенную работу немедленно сейчас.
https://t.me/s/Official_kometa19
Не упустите случай узнать всё о казино водка
Кликайте по адресу и читайте полную работу сейчас же.
https://t.me/s/Official_kometa19
Не прозевайте возможность узнать всё о казино водка
Переходите по адресу и читайте полную статью прямо сейчас.
https://t.me/s/Official_kometa19
Не пропустите шанс узнать все о казино водка
Переходите по адресу и читайте расширенную работу прямо сейчас.
https://t.me/s/Official_kometa19
Не пропустите шанс выяснить всё о казино водка
Кликайте по адресу и читайте расширенную работу прямо сейчас.
https://t.me/s/Official_kometa19
Не упустите возможность понять все о казино водка
Заходите по адресу и ознакамливайтесь полную публикацию немедленно сейчас.
https://t.me/s/Official_kometa19
Не прозевайте случай выяснить все о казино водка
Заходите по адресу и изучайте расширенную статью немедленно сейчас.
https://t.me/s/Official_kometa19
Не пропустите случай узнать всё о казино водка
Переходите по адресу и изучайте полную публикацию сейчас сейчас.
https://t.me/s/Official_kometa19
Не упустите возможность понять всё о казино водка
Кликайте по адресу и ознакамливайтесь полную работу прямо сейчас.
https://t.me/s/Official_kometa19
Не упустите случай узнать все о казино водка
Переходите по адресу и ознакамливайтесь полную статью прямо же.
https://t.me/s/Official_kometa19
Hi there very nice web site!! Man .. Beautiful ..
Wonderful .. I will bookmark your site and take the feeds also?
I am happy to seek out numerous helpful info right here in the submit, we’d like work out extra techniques in this regard, thanks for sharing.
. . . . .
I really like what you guys are usually up too. This sort of clever work and coverage!
Keep up the wonderful works guys I’ve included you guys to my blogroll.
https://yarkompany.ru/language/pages/?volshebnue_skazki___okna_v_mir_chudes.html о чем говорят мужчины смотреть 1 часть
https://school33-perm.ru/media/pgs/?hitu_amediateki.html сомон тч ваз 2115 душанбе
https://allboiler.ru/news/poznavatelnoe_kino__uchimsya__razvivaemsya_i_vdohnovlyaemsya.html расписание автобусов мозырь слобода на сегодня
What i don’t realize is in truth how you’re no longer actually
much more smartly-favored than you may be
right now. You’re so intelligent. You know thus considerably in terms of this subject,
produced me in my view imagine it from numerous various angles.
Its like women and men are not fascinated until it’s one thing
to do with Woman gaga! Your individual stuffs excellent.
At all times deal with it up!
https://clockfase.com/auth/elmn/?filmu_na_kinogo___luchshiy_vubor_dlya_lubiteley_kino.html сытин исцеляющие настрои для женщин слушать бесплатно онлайн в хорошем
Sweet blog! I found it while searching on Yahoo News. Do you have any suggestions on how to get listed in Yahoo News?
I’ve been trying for a while but I never seem to get there!
Thank you
https://taktikiipraktiki.ru/news/serialu_pro_derevnu__prostota__iskrennost_i_osobaya_atmosfera.html фильмы которые вышли уже в хорошем качестве
Hey! Do you know if they make any plugins to safeguard against
hackers? I’m kinda paranoid about losing everything I’ve worked hard on. Any recommendations?
Great blog! Do you have any helpful hints for aspiring writers?
I’m planning to start my own site soon but I’m a little
lost on everything. Would you advise starting with a free platform like WordPress or go for a paid option? There are so many options out there that I’m totally confused ..
Any ideas? Kudos!
https://li-terra.ru/art/filmu_143.html фильмы скачать на андроид в хорошем качестве