
Kamati ya Utekelezaji UVCCM Taifa Ikiongozwa na Mwenyekiti wake Komrade Mohamed Ali Kawaida (MCC) imehitimisha Ziara yake ya Kikazi Mkoa wa Dar es salaam tarehe 27 Agosti 2023 kwa kufanya Mkutano Mkubwa wa Hadhara ambao umekua wa kihistoria.
Lengo la Ziara hio katika Mkoa wa Dar Es Salaam ikua Kukagua Utekelezaji wa Ilani ya Uvhaguzi ya CCM 2020-2025, Kukagua Uhai wa Chama cha Malinduzi na Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi na Kusikiza Hoja, Changamoto na Kero za Wananchi Hususani Vijana na kuzitafutia Ufumbuzi.
Katika Ziara hiyo Kamati ya Utekelezaji ikiongozwa na Mwenyekiti wake Cde Kawaida waliambatana na Wajumbe wa NEC wanaowakisha Kundia Vijana na Wajumbe wa Baraza Kuu la UVCCM Taifa Ngazi ya Kitaifa.
3 Comments
Your article is a game-changer; it challenged my perspective.
Grając w Mostbet, możesz liczyć na szybkie wypłaty wygranych | Z Mostbet masz dostęp do zakładów sportowych na żywo | Mostbet rejestracja zajmuje tylko kilka minut, a bonusy czekają na Ciebie | Z Mostbet możesz obstawiać e-sporty, piłkę nożną, tenis i wiele więcej Mostbet PL.
Your article helped me a lot, is there any more related content? Thanks!